gaza qurani

IQNA

IQNA – Kituo cha Qur’ani cha Al-Nour kilichopo kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kinaendelea na shughuli zake za kutoa elimu ya Kiislamu licha ya changamoto chungu nzima zinazotokana na vita vya kikatili.
Habari ID: 3482476   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/12